Exploring Tamaa, Being Curious with Ubongo Kids! | Swahili Verses | Ubongo Kids
Jamani, unafanyaje ukipata mtihani wa maisha? Usikate tamaa, kuwa mstahimilivu! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! This video was made possible by a grant from the Goodall Foundation. Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
Vous aimerez aussi
Grade 10 English
KS3 English
SSS11 English
JSS9 English
Learning for children
Primary 3 - 1st Term
Class 6 English Grammar | Complete Course | All Chapters Available
Class 2 English Grammar
Class 3 English Grammar
2nd Grade Language Arts Lessons
Six English 1st Paper: Class 6 (ইংরেজি ১ম পত্রঃ ষষ্ঠ শ্রেণি)
Blue Book - Unit 6: What Do You Have? | Little Monsters
9Th English Paper
دروس السنة الثانية متوسط الفصل الثاني
الرابع ابتدائي/ اليونت الاول
Class 2 Balochistan EnglishTextbook
Английский язык 5 класс
Punjab Board 10th Punjab Board Grammar Ch. 2 Direct and Indirect
MATHS TOPIC QUESTIONS
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ MATHS GRADE 12
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
Commentaires
1 commentaires
Jamani, unafanyaje ukipata mtihani wa maisha? Usikate tamaa, kuwa mstahimilivu! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! This video was made possible by a grant from the Goodall Foundation. Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Ju
