THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Vous aimerez aussi
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
JSS9 Math
Pry6 Math
SS2 Mathematics
JSS1 Mathematics
SS2 Further Mathematics
Pry 4 Primary Mathematics
Mathematics (Junior Secondary School 1)
Numberblocks - Homeschool
Matematika Hebat
Numberblocks COMPILATIONS!
The Numtums
Trigonometry Graphs Grade 10
Trig functions grade 11
Singapore Math P1 (Grade 1) Teaching Videos by Teachers
GRADE 9 MATH (3RD QUARTER)
Математика 1 класс
Ch 4 Math 10Th Science
Matemática do Zero | Brasil Escola
ECUACIONES EXPONENCIALES PASO A PASO 1 bachillerato 4 ESO ejercicios resueltos
คณิตศาสตร์ พื้นฐาน ม.6 บทที่ 1 ความหมายของสถิติศาสตร์และข้อมูล
Экспоненц. и логарифм. функции
FSc Math book 1 chapter 5 Partial Fractions
MATHS TOPIC QUESTIONS
Commentaires
1 commentaires
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
