Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
قد يعجبك أيضًا
GRADE 8 MATHEMATICS
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
MATHS SHORT COURSES
KCPE MATHS 2018
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
All CBC Grade 4 Math Lessons | EasyElimu
Grade 10
THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
SS ONE | MATHEMATICS | GRADE 10 | FIRST TERM
Grade 2 Math Lessons Topic 11: Time
One, Two, Three! - Akili and Me Kiswahili - COUNT TO THREE IN SWAHILI!
Grade 6 Math
Grade 2 Math Lessons Topic 10: Capacity
Mathematics Grade 7: Measurements - Length
FRACTION GRADE 7 MATHEMATICS
Grade 4 Math Lessons Topic 16: Angles
Grade 4 Math Lessons Topic 11: Volume
What are odd numbers? Identifying odd numbers up to 100 | CBC Grade 4 Math | EasyElimu
Grade 10 - Year end evaluation
JAMB 2020
BECE MATHS TOPICS
MATHS TOPIC COMPLETE COURSE
KCPE 2023
التعليقات
1 تعليق
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
