THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
SS2 Mathematics
Pry 6 Primary Mathematics
Preschool and Kindergarten
3rd Grade Fractions
Year 6 Math
Matholia Primary 3
Trigonometry grade 11
Grade 5 - Math | First Term
Finance Maths Lit
Math 8 Quarter 1 | GRADE 8 1st Quarter Lessons | Matatag Revised K to 12 Curriculum Mathematics Tagalog Tutorial First Quarter
Math - Primary 4 - First term 2024
Cambridge Primary Mathematics Workbook 5
Trigonometry Graphs Grade 10
Trig functions grade 11
Ch 10 Class 9 G. Math
Pre - Cálculo │ 10. Funciones cuadráticas
Complete Math 9th Class Urdu Medium
Funciones - MATEMATICAS
Matemática Financeira (Vitor)
Обратные тригонометрические функции | Математика
Matemática 2do grado
9th Class Math Chapter 15 Pythagoras' Theorem
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
تبصرے
1 تبصرے
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
